Tuesday 21 October 2014

fahamu kuhusu ogonjwa wa nimonia



Nimonia (Pneumonia)
Huu ni ugonjwa ambao kwa kiasi kikubwa huathiri mfumo wa hewa na haswa mapafu.Baadhi ya vimelea viletavyo nimonia ni kama Pneumococcus ,Haemopilus influenza, Mycoplasma (haswa kwa watoto) pia Klebsiella, Staphylococcus aureus, Pseudomonas aeuroginosa kwa watu wazima .



Dalili za nimonia
·       .- Homa
·       -misuli maumivu
·        -Udhaifu  za mwili
·        -  kuhisi baridi
·         -Kikohozi kikavu kwa  mara ya kwanza kavu. Maumivu ya kifua. Kupata shida ya kupumua  kuliko kawaida.

No comments:

Post a Comment