Nimonia (Pneumonia)
Huu ni ugonjwa ambao kwa kiasi kikubwa huathiri mfumo wa hewa na haswa mapafu.Baadhi ya vimelea viletavyo nimonia ni kama Pneumococcus ,Haemopilus influenza, Mycoplasma (haswa kwa watoto) pia Klebsiella, Staphylococcus aureus, Pseudomonas aeuroginosa kwa watu wazima .
Huu ni ugonjwa ambao kwa kiasi kikubwa huathiri mfumo wa hewa na haswa mapafu.Baadhi ya vimelea viletavyo nimonia ni kama Pneumococcus ,Haemopilus influenza, Mycoplasma (haswa kwa watoto) pia Klebsiella, Staphylococcus aureus, Pseudomonas aeuroginosa kwa watu wazima .
Dalili za nimonia
· -misuli maumivu
· -Udhaifu
za mwili
· -
kuhisi
baridi
·
-Kikohozi kikavu kwa mara ya kwanza kavu. Maumivu ya kifua. Kupata shida
ya kupumua kuliko kawaida.
No comments:
Post a Comment