Wednesday 1 October 2014

HUDUMA YA KWANZA



Huduma ya Kwanza: Mtu aliyeungua 

1. Chukua tahadhari. Hakikisha usije ukaungua wakati unapojaribu kumwokoa mhanga

2.Zima moto lakini tumia busara 

3. Poza eneo lililoungua kwa kumwagia maji yaliyopoa. Unaweza kutumia maji ya bomba kwa majeraha madogo.

4.Iwapo kuna majeraha sehemu za mikono,miguu, au sehemu ya tumbo omba msaada haraka.
   Mhanga anahitaji huduma ya hospitali.
5. iwapo ameungua sehemu za siri au usoni muaishe haraka hospitali

6.Kwa majeraha madogo unaweza kutumia maji ya baridi(sio barafu au vuguvugu) au dawa kutuliza maumivu.
7. Iwapo maumivu ni makali muone daktari.


No comments:

Post a Comment