MADHARA YA KUJICHUA/KUPIGA PUNYETO
Kujichua au kujichezea (kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali
hata wanawake wanafanya hivyo, ila wengi wao huwa hawako huru
kulizungumzia au kukiri kuwa wakizidiwa hufanya.
Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja
ndiyo usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani
mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja¡- hasa kama umezoea dozi za maana
lakini sasa mpenzi hayupo karibu.
Hasara za kujichua au kujichezea kwa mwanaume:
1. Kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi.
Athari kubwa ya kupiga puri ni kuwa hupunguza kwa kiasi kikubwa hisia za
mapenzi za mwanaume na kumfanya awe mtumwa sawa na mtumwa wa pombe.
2. Huathiri mfumo mzima wa kufanya mapenzi na kumfanya apizi haraka sana (ndani ya dakika 3 tu).
Hii inatokana na kweli kuwa mwili wako unakuwa umeuzoeza kutoa mbegu kwa dakika chache kupitia njia ya kujichua.
" Tambua kuwa hakuna kitu wanawake wanachukia kama kupizi mapema. "
3. Umfanya mwanaume ashindwe kurudia ROUND YA PILINA KUENDELEA...
Hakuna mwanaume anayeweza kujichua kwa round tatu mfulululizo hapo hapo....
Kwa kuwa mwili unakuwa umeuzoeza kupiga round moja tu,tena fasta, ndivyo itakavyo kuwa hata ukiwa na mpenzi wako.
Vinginevyo upewe masaa kadhaa ya kupumzika.
4. Umfanya mwanaume kuwa MTUMWA wa kutaka kujichua kila wakati anapojisikia hamu...
"Athari nyingine ya kujichua ni kuwa umfanya mwanaume awe mtumwa, kama
alizoea kupiga puri wakati wa kulala, au asubuhi, au mchana ni lazima
afanye hivyo kila siku..."
Haijalishi yuko wapi; nyumbani, kazini, shuleni, chuoni hata angekuwa na
wenzake, ni lazima atakimbilia hata chooni au bafuni ili mradi afanye
hivyo.
5. Umfanya mwanaume ashindwe kabisa kutoa mbegu zilizo komaa (bao).
Hii hutokea kwa mwanaume au vijana waliozoea kujichua (kupiga puri) kwa muda kadhaa.
"tukubaliane kuwa VIDOLE ni tofaut kabisa na Njia ya uzazi wa mwanamke
au mwamaume, ni vigumu (vimekakamaa) na havina maji maji, hali hii
umfanya mwanaume ashindwe kupizi au kusimamisha, na hilo ni tatizo
wakati mwingine."
Sasa inapotokea ukafanya mapenzi live baada ya kutoka katika kipindi
kirefu cha KUJICHUA (kupiga puri),mwili hushindwa kuendana na mabadiliko
hayo.
6 Ni rahisi kupatwa na maradhi kama KANSA YA KORODANI, kwa kitaalamu inaitwa PROSTATE CANCER.
"Uonjwa huu hushambulia mirija ya chini ya uume na huufanya mkojo kuwa
na mrundikano mwingi wa damu." ukichelewa kutibiwa ugonjwa huu ni
hatari! Una ua"
Duh! We noma itakuwa uliwahi kuwa mshilika Umeeleza mambo kibao, Mimi naitwa Shaban Jumapi Ni mzoefu hako kamchezo toka nikiwa na umri wa miaka 8 hadi leo nikiwa na umri wa miaka 27 Ntaman sana kuacha ila nisha shindwa Naipenda ila tatizo moja tu inanipunguza body nikizidisha ni mwana mazoez tofauti na hapo niko poa kabisa, Naijuwa Vizuri punyote kuliko mtu anavyo fikilia,Dah! Punyoto
ReplyDelete