Monday 22 September 2014

FAIDA YA KUFANYA MAZOEZI

UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI YA MWIL


Wataalamu wa mambo ya afya wamekuwa wakisisitiza sana kuhusu umuhimi wa kudumisha afya bora kupitia kufanya mazoezi.

Mazoezi sio kunyakua chuma tu,kama watu wengi kwa wakati huu wanavyokimbilia na kutunisha misuli bila kujali mahitaji ya mwili.

Mazoezi ya mwili ni muhimu sana kwa  kwa afya ya mwili.

FAIDA YA MAZOEZI
Mazoezi ya mwili husaidia kurekebisha shinikizo la damu [blood pressure]

Mazoezi ya mwili huruhusu damu nyingi zaidi kufika sehemu zote za mwili na kufanya  mwili mzima kuwa na joto.

Mazoezi ya mwili uweza kupunguza mfadhaiko wa mwili na moyo, na kukufanya uweze kujisikia vizuri  zaidi katika maisha yako.

Mazoezi ya mwili ni tiba bora kwa koundoa wasiwasi na msongo wa mawazo.

Mazoezi ya mwili hufanya akili kuchangamka na kuongeza uwezo wa kufikili na akili.

Mazoezi ya mwili husaidia kurutubisha kinga za mwili na kufanya kinga kuwa imra kupambana na magon

 
KAMA ULIKUWA HUNA  UTARATIBU WA KUTOFANYA  MAZOEZI ANZA SASA

1 comment: